Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, akizungumza na vijana katika hafla ya kukabidhi vyeti kwa wahitimu wa mafunzo ya udereva iliyofanyika Makambako, Mkoani Njombe, leo Julai 15, 2026.
Katika hotuba yake, Mhe. Nanauka amewahimiza vijana kujenga mazoea ya kujifunza kila siku kwa kuongeza ujuzi na uzoefu katika fani wanazozifanya, akieleza kuwa kujifunza kwa vitendo na kuendelea kujiendeleza kitaaluma ni msingi wa kuongeza ushindani, kupata ajira na kufanikiwa katika shughuli za kiuchumi.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nana...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nana...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nana...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nana...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nanauka ames...