Ofisi ya Rais
Maendeleo ya Vijana
TAMASHA LA NJE YA BOX YOUTH TALK LIKIENDELEA KWENY...

TAMASHA LA NJE YA BOX YOUTH TALK LIKIENDELEA KWENYE UKUMBI WA NEW LIBRARY,UDSM

10 May, 2026
TAMASHA LA NJE YA BOX YOUTH TALK LIKIENDELEA KWENYE UKUMBI WA NEW LIBRARY,UDSM

Ni zaidi ya Vijana 1,600 wamehudhuria kwenye tamasha la nje ya box youth talk lililoandaliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya UFAULU Project ambapo linakwenda na Kauli mbiu isemayo 'Vijana tuyajenge, Tanzania ni yetu"

Mgeni rasmi kwenye tamasha hili ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Kutoka ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana ndugu  Godfrey Massawe aliyemwakilisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya  Maendeleo ya Vijana Dkt.Kedmon Elisha Mapana.