Ni zaidi ya Vijana 1,600 wamehudhuria kwenye tamasha la nje ya box youth talk lililoandaliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya UFAULU Project ambapo linakwenda na Kauli mbiu isemayo 'Vijana tuyajenge, Tanzania ni yetu"
Mgeni rasmi kwenye tamasha hili ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Kutoka ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana ndugu Godfrey Massawe aliyemwakilisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Vijana Dkt.Kedmon Elisha Mapana.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nana...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nana...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nana...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nana...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nanauka ames...