Ni zaidi ya Vijana 1,600 wamehudhuria kwenye tamasha la nje ya box youth talk lililoandaliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya UFAULU Project ambapo linakwenda na Kauli mbiu isemayo 'Vijana tuyajenge, Tanzania ni yetu"
Mgeni rasmi kwenye tamasha hili ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Kutoka ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana ndugu Godfrey Massawe aliyemwakilisha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Vijana Dkt.Kedmon Elisha Mapana.
VIJANA Mkoa wa Singida wanatarajia kunufaika na mikopo isiyokuwa na riba kutoka...
Wajasiriamali Mkoani Singida wameaswa kuziona changamoto zinazowakabili kama fur...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Arthur Nana...
UN CAREERS LIVESTREAM EVENT 2026 Kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na Wahitimu Wapy...
WAZIRI NANAUKA AWEKA MIKAKATI YA KUWAWEZESHA VIJANA NA WANAWAKE KIUCHUMI Seri...